WAISLAMU MSIKITI WA MTAMBANI 'WAMTEKA' ASKARI POLISI
Baadhi ya
waumini wa Kiislamu Msikiti wa Mtambani wakiwa wamemzunguka askari
Polisi, Jonathan Tossi (katikati aliyeshika kamera) wakimuhoji baada ya
kumshikilia kwa muda, hata hivyo walimuachia kwa masharti ya kumtaka
afute picha zote alizopiga eneo hilo.
Askari Polisi wakizunguka doria eneo la Msikiti wa Mtambani jijini Dar es Salaam kuhakikisha kuna amani.BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI ZAIDI
0 comments: