JE SHOW ZA KANGA MOJA, NI SAWA KWA JAMII YA KITANZANIA..?
![]() |
| HUYO NI MTOTO WA MIAKA 20 TU |
![]() |
| Mtazame na huyu... nd'o walewale. Tatizo ni hiyo khanga yenyewe moja, ambayo unaambiwa imeloweshwa kidogo na kuwa ndembendembe! Kwanini wabunge wasihofie upotofu wa maadili?MAMBO YA UMBEA MTUPU BLOG |
![]() |
| Ohooo....! Hawa nao wamevaa vizuri katikati ya mwili, lakini chini ni khanga moja ndembendembe na bado wanajibinua kihasara hasara. Ni balaaa tupu! |
| Apo chachaaaa....! Huu wote ni uchokozi wa akina Khanga Moko |
| Mama weeee.....! Hii si mitego jamani? |




0 comments: