CCM KUPITIA KWA MGOMBEA WAKE RIDHIWANI YASHINDA KWA KISHINDO


Imekuwa ni furaha kubwa kwa wana ccm pande zote za tz kwa kuwabwaga chadema vibaya bila kuwaonea huruma even if walianza kutapatapa kwa kusema hawakutaka kushinda nia ilikua ni kukitangaza chama pwani shiiiiiiiiiiiit!!!!!!!!! 
Unafunga banda farasi kashatoka? ni kichapo tu mwaka huu mtamkumbuka zitto mwaka huu
CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!! !!!!
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: