NIMESIKITISHWA NA CHADEMA KUKODI VIJANA WA KUMZOMEA ZITTO LEO MAHAKAMANI


Nimehuzunishwa sana na nimesikitika chadema kukodi vijana ambao wamekiri wazi kulipwa ili kwenda kumzomea mh zito, hili bila kukemewa ni hatari kwani inajenga chuki kubwa baina ya wapenzi wa chadema. kama staili ya kuwalipa vijana ili washushe reputation ya mtu ni sawa basi ipo siku huu ushetani utawarudia wenyewe time will tell
wapenzi wote wa mh zito j3 tujitose mahakamani kusikiliza shauri la kiongzi wetu 
cc team zito

ISAYA 54:14 Utathibitika katika haki utakua mbali na kuonewa, kwa maana hutoogopa, na mbali na hofu, kwa maana haitakukaribia.Tazama, yamkini watakusanyana , lakini si kwa shauri langu watu wowote watakaokusanyana juu yako wataanguka kwa ajili yako.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: