HIVI NDIVYO MUME WA JOYCE KIRIA ALIVYOPOKELEWA JIJINI DAR...!!


M4C ikiingia Dar kutokea Tabora kupitia Igunga...

Pella Ngunangwa dereva makini wa CHADEMA (papaa Pella mutu ya watu imechoka sana jicho nyanya) kaendesha usiku kucha jumlisha jana yake tulikuwa na pilikapilika za kuhakikisha watu wetu wanapelekwa Igunga

Hellen Baja, mfanyakazi mwenzangu alikuja kutupokea maeneo ya Mbezi


Papaa Pella na Wakili msomi PK, tumeingia Dar 

Booooooom. tukafika nyumbani....

Naomba uweke maneno kwenye hizi picha maana?? Noma...

Oh My God...

I dont Believe ...

Thank you God. you are so wonderful

Welcome back sweet heart

Kila mtu anataka kum'beba baba Lincon

Ngoja niwaone wanangu..

Hongera sana Wakili msomi PK, wewe ni noumaaaaaaaaaa

Karibu mume wangu, watoto wako hawa hapa

KILEWO: Oh God, asante kwa kuitunza familia yangu 

Wakili msomi PK: Watoto wazuri nimewaletea baba yenu kama nilivyomwahidi mama yenu na watanzania na wapenda haki

weka maneno 

Wakili: Ni faraja sana kwangu ninapoona Mungu ameniongoza kuleta furaha tena kwenye familia kama hivi

Oh my God, we are so much Happy

My chif cameraman Prospa Njau na Wakili Msomi PK

Final i have my kids, niliwamiss sana wanangu , namshukuru sana Mungu kwa kusimamia Haki

Tumaini Makene afisa habari wa CHADEMA akiwa na mfanyakazi mwenzangu Hellen Baja

Namshukuru Mungu kwa watoto hawa wazuri pamoja na mama yao ambae alijitahidi sana kuangalia familia nilipokuwa Jela

Baada ya mapokezi, Hellen akafanya jambo moja kubwa sana ambalo lilifanyika jioni... naona kaamua kupiga Pipooooooooz.... pawaaaaaaaaaaaa... any way nitakuwekea picha za jioni endelea ku visit
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: