Shitaka la tatu linalomkabili shekh Ponda ni
kushawishi na kutenda kosa ambapo anadaiwa kuwa alitoa maneno ya
ushawishi kwa kuwataka waislaam wasikubali uundwaji wa kamati za ulinzi
na usalama za misikiti kwani zinaundwa na Bakwata ambao ni vibaraka wa
CCM na serikali, na kama kamati hizo zitajitokeza aliwaamuru wafunge
milango na madirisha ya misikiti kuwapiga.
0 comments: