Kuhamia digital:hizi ndio pupa tulizokataa, mkalazimisha.
Kama kuna suala lililofanywa kwa pupa bila maandaliz na kujal maslah
mapana ya upatikanaj wa habar kwa jamii ya Tanzania, bas ni hil la
kukimbilia kuzima mitambo ya analog.. ona hii text kutoka moja ya
kingamuz cha walalahoi hapa tzania...'kutokana na matakwa ya Startv,
tumeamua kuitoa kwenye channel zetu, kwa maelezo zaid wasiliana na star
tv kwa namba 02825XXX.,,' naomba kuuliza, sasa inabid mtu uwe na
vingamuz vingap ndan il uweze kuangalia habari walau kwa channel za
nyumbani? vip ITV, Channel ten nao wajitoe? kila channel hapa tz na
kingamuz chake, then? alaf mkiambiwa mtasema kuna mkono kutoka nje, n.k.
mnashindwa kutunga sheria za kuwalazmisha watoa huduma kuweka channel
za nyumbani hata kama nyingine zitalipiwa? mh. makamba tulikuaminia
sana, au na wewe wamekuweka kwenye angleQ ?? fikiria sasa hiv nina
vingamuz v2 cioni channel zote za hapa nchini.....vp huko mbele
itakuwaje?? sa iv tunasubir mfunge line za cm!!!
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
0 comments: