KADA WA CHADEMA ASHAMBULIWA NA KUJERUHIWA VIBAYA KWA SHOKA NA WATU WASIOJULIKANA..TAZAMA PICHA YA TUKIO HILO HAPA...!!

Thursday, June 6, 2013 | 12:38 PM


 Ndg: Amos, kada wa chama cha Chadema akiwa hospitali ya Mount Meru
Ni siasa chafu na zisizovumilika, na ni dalili za CCM kushindwa kufanya kampeni majukwaani kwa sera sasa wanawashambulia wafuasi wa CHADEMA na kuwajeruhi kwa lengo la kuwapotezea uhai wao. Tumetoka hositali ya Mount Meru kumuona tukiwa na Mbunge wa Arusha Mh. Godbless Lema.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: