WASTARA NI NOMA KAFUNIKA WASANII WENZAKE MPAKA WAHESHIMIWA,HII NDIO GARI AINA YA HAMMER ANAYOMILIKI


Wastara akiwa ndani ya hummer
Kumekuwa na kamtindo ka wasanii wetu hapa TZ kuweka picha ya vitu wanazonunua online na wengine kuweka kwa ajili ya mauzo ili wapate cha kuongelewa na mashabiki wa hapa bongo. Mwanadada anayefanya poa kwnye tasnia ya uigizaji Wastara Juma amewaweka mashabiki wake katika hali ya kutokujua baada ya kuweka picha akiwa ndani ya gari Aina ya HUMMER na kuzua maswali kwa mashabiki wakiuliza ni lake au si lake. 
Wapowaliyompa hongera kama gari ni lake na wapo waliyomponda na kusema anatafuta kick
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: