MTU ALIYE ANGUKIWA NA ROLI LA MCHANGA JUZI AKIWA NDANI YA GARI MZIMA AMEUMIA KIDOLE TU





Huyu Jamaaa Ana Bahati Sana Aliangukiwa na Roli likiwa na mchanga kama picha inavyoonyesha hapo juuu ..lakini jamaa katoka mzima kabisa..kidole tu ndio kimeumia..Nilivyoona hii picha ya Ajali kwa mara ya kwanza sikudhani kama driver atakuwa kasalimika....Mungu Mkubwa
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: