AJALI MBAYA ENEO LA LUGALO JIJINI DAR



AJALI hii imetokea juzi asubuhi baada ya magari kusimamishwa ghafla eneo la Lugalo, Makongo ili kuruhusu wanafunzi wavuke ndipo lori liliposhindwa kusimama na kuparamia kingo za barabarani kisha kuiangukia gari dogo aina ya Toyota Cresta 'GX 100
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: