JINSI MAFURIKO YANAVYOLITESA JIJI LA DAR..ANGALIA PICHA


Mburahati na Mayfair leo asubuhi

Tokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbali mbali ya Dar es Salaam, zimepelekea uharibufu wa barabara na mazingira.

Haya ni maeneo ya jiji la Dar es Salaam yaliyoathirika na mvua inayoendelea kunyesha na kusababisha usumbufu mkubwa kwa wakazi hasa wanaoishi bondeni au kwenye mkondo wa maji mfano mito.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: