DIAMOND AKIWA STUDIO AKIREKODI COLABO NA MNAIGERIA


Maneno yanaumba !!! kwa jitihada zake Diamond Platnumz kama alivyosema kwamba ni lazima Wanigeria watamtambua time hii na kweli ndio inatokea hivyo.
Baada ya kuthibitisha kwamba atafanya kolabo kadhaa Lagos Nigeria Zikiwemo mbili za D’Banj na msanii wake, kazi imeanza kuonekana siku mbili baada ya kutua.
Diamond ameanza na hii ya kurekodi na Mnigeria mwingine mrembo aitwae Waje
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: