DIAMOND AKIWA NDANI YA RADIO KUBWA NIGERIA BEAT 99.9 FM KWA MAHAOJIANO...


Baada ya Wimbo wa number One kumpa chat kubwa Nigeria na Africa kwa ujumla ..leo Radio kubwa kuliko zote Nigeria Beat 99.9 FM walikuwa wakimuhoji nguli huyo...hii ni kutokana na wimbo wake kukaaa number moja katika top chat za radio hiyo kwa zaidi ya week moja
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: