SHILOLE ATAMBA NA UPAJA WAKE, MABUZI YAISOMA NAMBA
Zuwena Mohammed ‘Shilole’.
Katika tukio la hivi karibuni ndani ya Ofisi za Global Publishers, Mwenge Bamaga jijini Dar, alipofika kwa ajili ya mahojiano na Global Television Online inayorushwa kupitia mtandao wa www.globalpublishers.info, msanii huyo alitakiwa kupozi ili apigwe picha lakini cha ajabu alipandisha juu kigauni chake na kuonesha kipensi kifupi alichokuwa amevaa huku akidai ana paja la maana hivyo hana sababu ya kulificha.
-GPL
0 comments: