MTU MMOJA AKUTWA AMEJINYONGA KWENYE MTI HUKO MOROGORO


Mwili wa mwanaume ambaye jina lake halikufahamika mara moja ukining'inia juu ya mti. Mwanaume huyu amekutwa amejinyonga usiku wa kuamkia leo mjini Morogoro. Chanzo cha mtu huyu kujinyonga hakijafahamika. Kwa mujibu wa askari aliyekuwepo eneo la tukio alidai kwamba askari wa doria waliokatiza kwenye eneo hilo majira ya saa 10 usiku walishuhudia mwili wa mtu huyo ukining'inia juu ya mtu.
 Askari akipanda juu ya mti kwa ajili ya kuushusha mwili wa marehemu.
  
Mwili wa marehemu ukiwa kwenye gari
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: