HUYU NDIYE MSANII WA BONGO ALIYEKUWA ANAZURURA NUSU UTUPU NCHINI DUBAI.......!!






“Sikuamiani kabisa kama ni yeye kwa maana sijawahi kumuona akivaa hivi huku Bongo japokuwa anavaa nguo fupi lakini siyo kama hicho kibukta alichokivaa na kukatiza mitaani bila wasiwasi wowote,” alisema rafiki huyo na kuongeza:


“Nilipojaribu kumuuliza kulikoni avae kikaptula hicho tena katika nchi za watu wanaojiheshimu, akadai kwake siyo ishu na zaidi ni Wabongo ndiyo wanaopenda kufuatilia maisha ya watu.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: