PAPA FRANCIS ATANGAZA NIA YA KUSHIRIKIANA NA MASHOGA KWA LENGO LA KUWASAIDIA...!!

Sunday, June 16, 2013 | 3:26 AM


 http://www.habarimpya.com/images/pope-francis-r-and-justin-welby-l.jpg

KIONGOZI wa Kanisa la Roman Katoliki Duniani Papa Francis Jorge Mario ameshindwa kuonyesha msimamo wake kwa mara nyingine kuhusu ndoa za jinsia moja.
GUMZO LA JIJI Limenasa kauli ya Papa Francis kutangaza nia yake ya kufanya kazi pamoja na watu wenye ndoa za jinsi moja ili kuwasaidia katika maisha ya ndoa kupitia mitandao mbalimbali Duniani.
Kitendo cha Kiongozi huyo mkubwa wa dini Duniani kutangaza nia yake ya kushirikiana na watu wenye ndoa za jinsia moja imetafasiriwa tofauti huku watu wakishindwa kujua msimamo wake kama anaweza kuruhusu ndoa hizo katika Kanisa lake ama ataendelea kuzipinga.
Akizungumza na Askofu wa Canterbury Justin Welby wa Kanisa la Anglikana wakati wa mazungumzo yao katika makazi ya Papa huyo mjini Vatican alisema kwamba anampango wa kuwasaidia wanandoa hao.
Hii ni mara ya pili kwa Papa huyo kutoa kauli ambayo inazua utata kuhusu msimamo wake, mara ya kwanza Papa Francis alisema kwamba watu wenye ndoa za jinsia moja wanastahili kuishi katika jamii.
Papa Francis alitoa kauli hiyo mara ya kwanza alipoulizwa swali na Waandishi wa Habari mara baada ya kutangazwa kuwa Kiongozi wa Kanisa hilo lenye nguvu Duniani kuhusu ndoa za jinsia moja.
Akijibu swali hilo Papa Francis alisema kwamba, watu wenye ndoa za jinsia moja hususan mashoga ni watu kama watu wengine na kwamba wanastahili kuishi katika jamii.
Papa Francis alisema, watu hao wanapaswa kuwekwa karibu na Mwenyezi Mungu ili watubu na kumtumia Mungu.
Papa Francis ambaye alikuwa akipinga ndoa za jinsia moja tangu alipokuwa nchini wake Argentina, alikutana na Askofu Welby ambaye hivi karibuni alitangaza nia yake nchini Uingereza ya kusajiri taasisi itakayoshugulikia na ndoa za jinsia moja.
Katika mazungumzo yake na Askofu Welby, Papa Francis alisema “Nina amini kwamba tutashirikiana katika kutangaza maisha ya roho mtakatifu, na kuzipa uwezo familia zilizopatikana ndani ya ndo
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

1 comment:

  1. ACHENI UJINGA DUNIA INAELEKEA WAPI?NINYI NI VIONGOZI WAKUBW WA MAKANISA YENU SASA INAKUWEJE MNRUHUSU NDOA ISIYO HALALI WAKATI MAANDAIKO MNAYASOMA NA MNAYAELEWA,AU MNAPOTIOSHA WATU KWA KUPEWA HONGO NA WA WAINGEREZA KWA MAFUU YAO BINAFSI.KUWENI MAKINI SANA NA JAMBO HILO.

    ReplyDelete