KICHANGA CHAOKOTWA KIKIWA KIMEKUFA HUKO MAGOMENI...!!

Wakazi  wakishuudia mototo mchanga akiwa ametupwa na kufariki dunia katika eneo hilo na mtu asiyefaamika.
Askari polisi wa kituo cha magomeni usalama wakiwa katika eneo ambalo ametupwa mototo mchanga akiwa amefariki kwa ajili yakumchukua kumpeleka sehemu husika
Wakazi wa eneo la magomeni zilipovunjwa nyumba za( KOTA) jijini Dar es salaam leo wakishuudia mototo mchanga anayekadiriwa kuwa na umri wa siku moja akiwa ametupwa na kufariki dunia katika eneo hilo na mtu asiyefaamika.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: