Ajali Mbaya

Kuna habari kwamba Gari ya JWTZ kutokea kambi ya Nachingwea likielekea Mtwara 'kuongeza nguvu' limepata ajali mbaya na kusababisha maafa ya askari...

Jumla ya askari 32 ndio walikuwa safarini kuelekea mjini Mtwara wakiwa ndani ya gari hilo. Ajali hiyo imepelekea vifo vya Askari wanne (4) wa JWTZ maeneo ya Kilimahewa huko Nachingwea na katika ajali hiyo waliojeruhiwa ni saba (7).
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: