HATIMAYE MBUNGE WA CCM EAST AFRICA APINGANA NA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA LAIVU BILA CHENGA


Shy-Rose Bhanji

About an hour ago

As a Citizen & Patriot of my Motherland Tanzania, I give due respect to the opinions of all Tanzanians on the current Constitution review. 

Much as convictions and beliefs of President JK (2govts) and Judge Warioba (3govts) are divergent, I will support the popular decision thru the coming National referendum. 

However, for now, my stand is for 3 Governments because of the following:
1. The life-span and relevance of the two-tier Govts has reached its end.
2. Complaints/grievances on Union issues have not been solved for mutual benefit.
3. A 3tier govt is the ultimate solution given the 2 reasons above. And to me this an evolution of the reality...

Kama Mtanzania na Mzalendo, ninaheshimu mtazamo/mawazo ya Watanzania wote. 

Licha ya kwamba mawazo ya Rais JK (Serikali 2) na Jaji Warioba (Serikali 3) yametofautiana, binafsi nitaunga mkono hoja/msimamo wa wengi kupitia kura za maoni za kitaifa. 

Hata hivyo kwa sasa bado ninaunga mkono muundo wa Serikali 3 kwasababu zifuatazo:

1. Mfumo wa Serikali 2 unaonekana kufikia kikomo na kutokuwa na umuhimu tena baada ya miaka 50 ya uhai wake.
2. Kero za Muungano zimeshindwa kupata suluhisho/muafaka kwa manufaa ya wote.
3. Muundo wa Serikali 3 ndio jawabu pekee kwasababu nilizotoa hapo juu. Na kwangu mimi hatua hii ni muendelezo wa hali halisi...
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: