COCACOLA WAMNUNULIA GARI JIPYA DIAMOND

Ukikutana na Diamond mtaani akiwa na mchuma mpya wenye rangi nyeusi, usishtuke sana, jua ni courtesy of Cocacola.
16859d0ccbab11e29f3f22000a1f978e_7
Inavyoonekana ni kuwa Cocaboy kama anavyojiita siku hizi, amenunuliwa gari jipya na wadhamini wake kampuni ya vichwaji ya Cocacola.
“Ya all ready know what it’s….. tukutane Fuel station!! #CocaCola Mumetishaaaaaa,” aliandika jana kwenye picha ya Instagram ya gari hilo likiwa na maganda yake.
 
“Chatin infront of my Small baby… on @channeloafrica interview at my clib,” aliongeza.

Siku nzima ya jana, hitmaker huyo wa Kesho alikuwa busy kwenye interview na kituo cha runinga cha Channel O.
af471706cb8211e2896422000a1fb003_7
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

AIBU: VIDEO YA NGONO YA WANAFUNZI WA COLLAGE MOJA ILIYOPO DODOMA YAVUJA....WALIJIREKODI WENYEWE NA KUISAMBAZA




Baadhi ya wanafunzi  wa vyuo vikuu mbalimbali mjini Dodoma  wameoza kwa matukio machafu ya ngono..

Uchunguzi wetu umebaini kuwa siyo kila mwanachuo anayepata nafasi hiyo adimu ya kujiunga na elimu ya juu anafanya kile kilichokusudiwa, badala yake wanafanya kinyume kwa kujihusisha na vitendo haramu na hatarishi vya ngono.


Katika uchunguzi wa muda mrefu, mpekuzi blog imefanikiwa kunasa matukio mbalimbali machafu yaliyopitiliza ya vitendo vya ngono  ambapo picha  na video ya ngono   ya  wanafunzi  wanaosoma chuo/COLLAGE   moja  mjini Dodoma   imenaswa laivu....
Tarehe 20  mwezi huu wa tano,mpekuzi blog ilipokea simu kutoka  kwa mdau mmoja  ambaye  aliipasha  juu ya kuwepo kwa mkanda wa ngono  chuoni hapo ambao umerekodiwa  na wanafunzi wa chuo/COLLAGE  hiyo....
 
Hapa walikuwa wakitazama camera ambayo waliitegesha wenyewe
--------------
Baada ya tarifa hiyo, mtandao huu ulimteua mpekuzi  mmoja  ambaye alikabidhiwa majukumu ya kuujua ukweli ikiwa ni pamoja na kuipata video  hiyo kwa gharama yoyote kama ushahidi....

Mpekuzi huyo alifanya kama alivyoelekezwa.Tarehe 22 may alifanikiwa kuonana  na mnyetishaji huyo  ambaye alimpa mkanda mzima  wa tukio hilo..
Mazungumzo yao:

Mpekuzi: Vipi kamanda, pole na kitabu!
Mnyetishaji: Asante kaka, poleni na kazi
Mpekuzi: Asante sana, suala langu ni moja tu...ambalo ni kuipata hiyo video , maelezo mengine baadae.
Mnyetishaji: (anacheka): Kaka  dunia imeoza...chuo/COLLAGE  imegeuzwa kambi ya ngono.Watu wanabebana kama kuku, mbaya zaidi wanajirekodi  live mithiri ya wacheza xxxxxxx..

Mpekuzi: Kwanza ilikuwaje wakajirekodi?

Mnyetishaji: Unajua sisi wanafunzi   tuna ile hali ya kusifiana mbele ya wenzetu.Kwa hiyo siku ukitoka na demu, ni lazima masela wajue kama ulipiga kazi kweli au ulizingua...

Inavyoonesha  ni kwamba huyu jamaa alitaka kuwathibitishia washikaji zake kwamba alimtungua huyu dem, na ndo maana akamrekodi.

Mpekuzi: ( kicheko kikali) Dah! Wanafunzi mnambo sana aisee...!!Kumbe na wewe ni mdau.Ilikuwaje video hii ikasambaa? wakishajirekodi   hubaki kwa mwenyenayo au husambazwa kwa washikaji?

Mnyetishaji: Kaka  mimi siyo mdau na  ndo maana  nikawapa huu mchongo  ili msaidie  kulikemea hili.Wakishajirekodi, video hubaki kwa mwenye nayo tu.Ukitaka kuona  ni lazima uende kwa mwenyenayo.

Hii imevuja kwa sababu jamaa alijiamini na kuwapa washikaji zake wa karibu ambapo tangu siku hiyo video ilianza kusambaa kwa kasi.

Mpekuzi: Turudi kwenye point kaka...Ntaipataje  hiyo video  ili na mimi niamini???  

Mnyetishaji: Video ninayo, ila ni lazima unitoe kidogo, nimechacha  mwanao..!!

Mpekuzi: Aaah!  kaka  umeanza  uswahili  tena?  haya usijali, ntakutoa Dinner.

Mnyetishaji: Asante kaka, ila msinitaje.

Mpekuzi: Usijali kamanda, na ndo maana sijataka  hata kuuliza mengi kuhusu wewe.Kazi yangu ilikuwa ni kuupata mkanda basi.

Hatimaye mpekuzi wetu alifanikwa kuipata video hiyo  ya aibu.Ni ngumu sana kuamini kama wabongo tumefikia hatua hii  ya laana.


Kwa muda mrefu tumekuwa tukiripoti juu ya matukio machafu yanayotendwa na madenti kwa kuweka picha tu....Baadhi ya watu wameku
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

HIKI ndo KITANDA na CHUMBA ANACHOTUMIA IKULU MTOTO WA RAIS MPYA WA KENYA UHURU KENYATA.PICHA KASAMBAZA MWENYEWE KATIKA MITANDAO

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

RASIMU YA KATIBA MPYA YAPENDEKEZA KUWEPO KWA SERIKALI TATU.....


Leo ni ufunguzi wa rasimu  ya katiba  mpya  na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema  kwamba  Rasimu hiyo  imependekeza kwamba matokeo ya rais yahojiwe mahakamani.

Kwa lugha nyingine ni kwamba katiba ijayo itaruhusu Rais kushtakiwa mahakamani endapo matokeo yake yatatiliwa shaka na wagombea wengine. 
Jaji Warioba ameyasema hayo  wakati wa uzinduzi wa Rasimu ya Katiba Mpya katika tukio la kihistoria nchini Tanzania.

"Imependekezwa kwamba matokeo ya Rais yatashikiwa mahakamani lakini kwa masharti," amesema Jaji Warioba hivi punde.

Jaji Warioba ametaja masharti hayo ni kwamba wagombea wa urais ndio watakuwa na haki ya kuhoji matokeo ya rais na si vinginevyo. Pili, matokeo hayo yanatakiwa kuhojiwa ndani ya mwezi mmoja tu na si vinginevyo.

Amesema pia tume imependekeza kuwapo kwa wabunge wa aina mbili ambao ni wabunge wa kuchaguliwa na wabunge wengine wa kuteuliwa na Rais.
 Pia amesema kwamba kutakuwapo kwa utaratibu wa wanawake kugombea katika majimbo. Kwa maana hiyo hakutakuwapo  wabunge wa Viti Maalumu.
Pamoja  na hayo, tume ya jaji Warioba imependekeza   kuwepo  kwa  serikali tatu ambazo ni  -serkali ya zanzibar, ya tanganyika na ya muungano.
mambo ya muungano  yaliyopendekezwa:
1)katiba ya jamhuri ya muugano wa tanzaia
2)sarafu na benki kuu
3)mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa
4)ushuru
5)ulinzi na usalama
6)usajili wa vyama vya siasa
7)uraia na uhamiaji
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

ALBERT MANGWEA AAGWA NA WATANZANIA WALIOKO AFRIKA KUSINI.....MWILI WAKE UTALETWA KESHO SAA NANE


Watanzania waishio nchini South Africa wamepata nafasi ya kuuaga mwili wa Albert Ngwea kuelekea katika safari ya mwisho wakiongozwa na Msanii Bushoke na Mtoto wa Mhe. Kingunge Ngombale mwiru, Kinjeketile wanaosimamia mipango ya kuaga mwili nchini Afrika kusini...

Mwili  wa  marehemu  utaletwa Tanzania  kesho  saa  nane.....
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

SIMULIZI: MZEE WA MIAKA 80 ATENDEWA UNYAMA WA KUTISHA...... FAMILIA YAKE YATUPWA NJE NA KUBEBEWA VITU VYOTE



MAISHA ya familia ya mzee Athumani Mwenda, 80, ni ya mateso makali baada ya nyumba yao kubomolewa ikiwa na vitu ndani.

Mzee huyo na familia yake sasa wamekuwa wakiishi nje huku wakikabiliwa na njaa pamoja na maradhi mbalimbali.
 
Tukio la kuvunjiwa nyumba lilitokea Mei 24, mwaka huu katika Kitongoji cha Mvuti, Ilala, Dar na inadaiwa kuwa ubomoaji huo ulifanyika chini ya mtu aliyejitambulisha kwa jina la Boatu Msuya ambaye ni dalali wa mahakama huku akiongozana na polisi sita wenye bunduki aina ya SMG.
 
Akielezea tukio hilo kwa masikitiko makubwa, mzee Mwenda ambaye ni Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Sangara, Kata ya Msongora alikuwa na haya ya kusema:
 
“Sina mahala pa kwenda na hawa watoto, nani anaweza kutupa hifadhi, chakula na matibabu? Tunaishi kama wanyama porini.

“Sijatendewa haki hata kidogo, ni bora wangetuua kuliko kutufanyia kitendo hiki kilichosababisha tuishi kwa dhiki. 
Sidhani kama kuna mahakama inayotoa amri ya kugawa ardhi yangu bila kutembelea eneo la tukio, anayedaiwa kuwa ni dalali amegawa na kuchukua eneo kubwa tofauti na tulivyopatana mahakamani.
“Ni zaidi ya nusu ekari na ndiyo maana wamechukua na eneo la nyumba yangu na kuibomoa huku nikiwa nimelala ndani na wajukuu zangu, niliamshwa dakika za mwisho, nikaokolewa na wajukuu zangu, nusura tufunikwe na kifusi.
 
“Nilipotoka nje nilikuta kundi la vijana na askari, niliwauliza kwa nini wananibomolea nyumba, wakanijibu nikae kimya. Hakuna kiongozi yeyote wa serikali aliyekuja naye wala barua inayonitaka nihame au kubomoa nyumba.

“Ninachokijua ni kwamba tulikubaliana mahakamani kuwa nigawe nusu ekari ya ardhi yangu ninayoishi nimpe tuliyekuwa naye kwenye kesi mahakamani.
 
”Naamini kungekua na watendaji wa mahakama hapa au kiongozi yeyote wa serikali wa kusimamia zoezi hili haya yote yasingetokea, nimeonewa.
 
“Kwa sasa tunalala nje, mvua, jua na maradhi ni vyetu, nimeishi hapa tangu mwaka 1980 enzi hizo hapa likiwa pori, leo hii wameona lipo karibu na barabara ya lami wanaamua kujigawia, sikubali hata kidogo,” alisema.

Afisa Mtendaji wa kata hiyo, Omar Ali Khalfan alipoulizwa juu ya sakata hilo, alisema kwamba mzee huyo tayari ameshachukua hatua ya kuandika barua kwenda mahakama kuu na ameshaipitisha na kumgongea muhuri.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

HII NDIO RATIBA KAMILI YA MAZISHI YA NGWEA PINDI MWILI WAKE UTAKAPOFIKA...!!

Tuesday, June 4, 2013 | 3:37 PM

Wanakamati wa mazishi pamoja na wasanii akiwepo Profesa Jay, Lady Jaydee, Fid Q, Stamina, Juma Nature na wengine wengi wanaelekea uwanja wa ndege kutoka Viwanja vya Leaders tayari kuupokea mwili wa Mangweha.
-Mwili utawasili saa 8 mchana huu.
-Baada ya mwili kuwasili uwanja wa ndege, utapelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo utapokelewa na kuhifadhiwa.
-Baada ya kuhifadhi mwili, waombolezaji wataelekea Viwanja vya Leaders kwa maombolezo.


-Kesho saa 2 asubuhi mwili utakuwa Viwanja vya Leaders kwa ajili ya kuagwa mpaka saa 6 mchana.
-Saa 6 mchana mwili utasafirishwa kuelekea mkoani Morogoro kwa ajili ya ratiba nyinginezo

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

1 comments:

HIVI NDIVYO MAELFU WALIVYOUPOKEA MWILI WA ALBERT MANGWEA KWA MAJONZI MAZITO...!!

HIVI NDIVYO MAELFU WALIVYOUPOKEA MWILI WA ALBERT MANGWEA KWA MAJONZI MAZITO...!!

Tuesday, June 4, 2013 | 4:08 PM

Wadau mbali mbali wakiwa wamekusanyika kwa wingi kwenye uwanja wa Ndege Julius Nyerere kwa ajili ya kuupokea Mwili wa Marehemu Albert Mangwea uliowasili mchana huu kutokea nchini Afrika ya Kusini.

MWILI UKIINGIZWA KWENYE GALI TAYARI TUMESHAANZA KUONDOKA HAPA UWANJANI KUELEKEA MUHIMBILI.
 
 

Gari iliyobeba mwili wa Marehemu Albert Mangwea ikisukumwa na Mashabiki wake kutoka kwenye Sehemu ya maalum iliyokuwa imehifadhiwa maiti hiyo.Mwili wa Marehemu Mangwea umepelekwa kuhifadhiwa kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili,ambapo taratibu za kuuga mwili huo zitafanyika kesho kwenye Viwanja vya Leaders Club,Kinondoni jijini Dar kuanzia asubuhi.
Msafara ukielekea Muhimbili.
Gari maalum la Kubeba Mwili Msanii wa Muziki wa Kizaki Kipya,Marehemu Albert Mangwea likiwa tayari tayari kwa kubeba mwili.
Wadau kibao wapo uwanja hapa hivi sasa tayari kwa kuupokea Mwili wa Marehemu Mangwea.
Rafiki kipenzi wa Marehemu Albert Mangwea,Jay Mo akihojiwa na vyombo vya hapari uwanjani hapa.
Prof. Jay nae alipata wasaha wa kuongea na vyombo vya habari juu ya Msanii mwenzao Albert Mangwea alietangulia Mbele ya haki.
Wadau.
Watu kutoka kila pembe ya jiji la Dar wakiwa uwanjani hapa kuupokea mwili wa Msanii wao.
Wanahabari wakitafakari jambo.

Wakiwa wamejipanga tayari kwa kuubeba mwili wa Marehemu Mangwea.
Mkurugenzi wa Zizzou Fashion,Othman Tippo (kushoto) akizungumza na mmoja wa wadau waliofika uwanjani hapo.
Wasanii mbali mbali wapo uwanjani hapa hivi sasa.
Madee akimzungumzia Marehemu Mangwea.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

MAJAMBAZI WAMJERUHI KWA MAPANGA NA KUMVUNJA KIUNO AFISA HABARI WA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA USIKU WA KUAMKIA LEO NYUMBANI KWAKE..!!

Tuesday, June 4, 2013 | 4:49 PM

Afisa Habari Daraja II wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Edward Denis Nkomola amevamiwa na majambazi usiku wa kuamkia leo, nyumbani kwake Changanyikeni Dar es Salaam na kujeruhiwa vibaya mwilini.

Edward Nkomola ni bwana harusi mtarajiwa na maandalizi ya harusi yake yapo katika hatua za mwisho ambao ndoa yake ilitarajiwa kufungwa Juni 15 mwaka huu jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa iliyo tolewa na Afisa Habari mwenzake wa Wizara hiyo Ndugu Nicodemus Thom Mushi, tukio hilo lilimkuta Nkomola majira ya aa saba usiku, ambapo majambazi wanane wakiwa na silaha mbalimbali, walivamia nyumbani kwake na wakitaka wapewe fedha alizokusanya kwa ajili ya harusi yake.

Taarifa hiyo inasema kuwa kabla ya majambazi hao kufanikisha adhma yao hiyo walivunja mlango wa chuma (grill) na mlango wa kawaida na kuanza kumshambulia kwa mapanga na kumjeruhi mara kadhaa kichwani, kumvunja mkono, kumjeruhi kwa panga pajani na kumwibia samani za ndani, fedha, simu na vifaa mbali mbali vya harusi.

Wiki iliyopita alitoka Wilayani Same kwenye Send Off ya mke wake mtarajiwa Elizabeth.

Nkomola amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili katika kitengo cha Mifupa MOI akipatiwa matibabu na hali yake inaendelea kusimamiwa na madaktari kwa ukaribu zaidi.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

SKENDO: KIBAKA ANASWA AIRPORT AKIJARIBU KUWAIBIA WAFIWA WAKATI MWILI WA NGWEA UKIWASILI NCHINI.... !!

SKENDO: KIBAKA ANASWA AIRPORT AKIJARIBU KUWAIBIA WAFIWA WAKATI MWILI WA NGWEA UKIWASILI NCHINI.... !!

Tuesday, June 4, 2013 | 4:20 PM

Photo: KIBAKA NAYE HAKUKOSEKANA HAPA AIRPORT AKIJARIBU KUIBIA WATU.<br /><br /><br />
ASKARI POLISI WAMEMUOKOA NA KUMPELEKA LUPANGO.<br /><br /><br />
NDUGU ZANGU WATU NI WENGI NA PURUKUSHANI NI KUBWA SANA...VIBAKA WANATUMIA MWANYA HUU KUWACHOMOLEA WATU
KIBAKA NAYE HAKUKOSEKANA HAPA AIRPORT AKIJARIBU KUIBIA WATU.
ASKARI POLISI WAMEMUOKOA NA KUMPELEKA LUPANGO.
NDUGU ZANGU WATU NI WENGI NA PURUKUSHANI NI KUBWA SANA…VIBAKA WANATUMIA MWANYA HUU KUWACHOMOLEA WATU
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

HUU NDIO UMATI ULIOJITOKEZA KUMLAKI ABSALOM KIBANDA KWENYE UWANJA WA NDEGE WA J.K NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM.

HUU NDIO UMATI ULIOJITOKEZA KUMLAKI ABSALOM KIBANDA KWENYE UWANJA WA NDEGE WA J.K NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM.

 Waandishi wa habari na wanaharakati wakisubiri kumpokezi ya Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda.
 Waandishi wa habari na wanaharakati wakimsubiri kumpokea Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda.
 Baadhi ya wapiga picha wakiwa Uwanja wa Ndege wakati wa mapokezi ya Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom kibanda.
 Mjumbe wa Bodi wa Jukwaa la wahariri, Theophil Makunga akimlaki Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda alipowasili leo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Afrika Kusini kwa matibabu.
Kibanda akiwasili leo. 
Absalom Kibanda (katikati) 
 Umati wa waandishi wa habari pamoja na wanaharakati wakiwa katika mapokezi ya Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri.
 Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Absalom Kibanda akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo. 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Absalom Kibanda akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: