PICHA: "RAY C" NA "RECHO" NI MAPACHA WA MATUMBO TOFAUTI, HAWAFANANI SAUTI TU...WANAFANANA SURA PIA..!! WATAZAME HAPA..




Mara ya kwanza tu Recho alipoanza kusikika, sauti yake ilianza kufananishwa na ya Ray C. Kuanzia kwenye Kizunguzungu, Upepo na Nashukuru Umerudi, Recho alikuwa Ray C mtupu.
Hata hivyo hiyo haikumsumbua, Ray C ambaye alisema kuwa ni faraja kumsikia Recho akiimba kama yeye na tangu hapo wamekuwa marafiki.
Lakini wawili hawa, hawafanani sauti tu. Picha hii (hapo juu) iliwekwa na Ray C kwenye Instagram na wengi walidai kuwa, warembo hao wanafanana kama mapacha vile.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: