MKENYA AANGARA KWENYE VIDEO YA SUPER STAR WA DUNIA..!!

Magna Carta Holy Grail album ya Jay Z bado ipo kwenye headlines, kitu kikubwa sasa hivi ni video ya performance ya “Picasso Baby “. Jay Z alitoa video ya dakika 10 ambayo ilifanyika kwenye ukumbi wa Perfomance Art Film na imekuwa gumzo kwenye internet.

Kitu ambacho watu wengi hawajakitambua ni kuhusu uhusika wa raia wa Kenya kwenye video ya Picasso baby.  Msanii Wangechi Mutu amezaliwa mwaka 1972 na kazi zake nyingi anazifanya Brooklyn New York. Wangechi ni moja kati ya wachoraji wenye heshima kubwa kutoka Africa wanaofanya kazi nje ya Africa. Mutu licha ya kuwa msanii ni msomi wa Masters ya Fine Arts kutoka Yale University.


wangechi-mutu2
wangechi-Mutu
Wagechi Mutu
Mutu_Hundred_Lavish_Months_of_Bushwhack_2004.jpeg

Moja ya michoro maarufu ya Mutu
4eb935fa2448cab6dc3a8c7fe74715dd_M

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: