"BABY NIMEKWAMBIA NIPELEKE CHOONI"....ILIKUWA NI KAULI YA MPENZI WANGU KABLA HAJAVAA NGUO NA KUONDOKA
Nimekuwa
katika mahusiano kwa muda mrefu na binti mmoja ambaye siku zote
huwa tunafurahia mahusiano kama kawaida na hajawahi niambia
mambo ya chooni...
Kilichonichanganya ni hili tukio la jana ambalo limenifanya nivunje ukimya...
Wakati tunavunja amri ya sita baada tu ya kumaliza first round tulipumzika kama kawaida ili kujiandaana second round....
Wakati niko tayari kwa
second round, mrembo wangu aliomba nimpeleke chooni..."BABY NIPELEKE CHOONI"...
Nikamwambia "afadhali umesema mapema kabla sijaanza second round maana
ungenikata stimu, haya baby twende..."
Nilivyo mwambia hivyo huku nikiwa nimesimama , mwenzangu aligoma,
akarudia tena, "BABY NIMEKWAMBIA NIPELEKE CHOONI"....!!
Nikamwambia :"sasa si
uamke twende? ..Nilivyosema hivyo, binti alianza kuniangalia kwa jicho la hasira na baadae akavaa
nguo zake akatoka kwa jazba...
Kusema kweli nilipigwa na butwaa huku nikiwa sielewi kinachoendelea.Baada ya
muda kidogo alinitumia text inayosema hivi:
"Mwanaume gani wewe huelewi...!!! siamini kama ni mshamba kiasi hicho. Next time nikikwambia NIPELEKE CHOONI maana yake ubadilishe mlango"
Kumbe maana yake ilikuwa kumpeleka chooni ni kumuingilia kinyume na maumbile,kitu ambacho niliapa kutotenda maishani mwangu....
"Mwanaume gani wewe huelewi...!!! siamini kama ni mshamba kiasi hicho. Next time nikikwambia NIPELEKE CHOONI maana yake ubadilishe mlango"
Kumbe maana yake ilikuwa kumpeleka chooni ni kumuingilia kinyume na maumbile,kitu ambacho niliapa kutotenda maishani mwangu....
ypole sana best huyo hakupendi na mpaka hapo tayari umeshamuona huyo yuko vipi,hafai huyo ni changudoa best kama wewe haujawahi kumfanya kinyume na maumbile yeye kwa nini awe anataka?huyo atakuua wewe kwanza hata kondomu hutumii utakufa acha ujinga unampenda kitu gani kwani yeye ananini hasa cha kukufanya uenddelee kumkumbatia?kama mliahidiana kuoana achana nae atakuua wewe?hiyongoma hautaiweza ni mashine tata wewe jombaa.achana nae utakufa siku ci zako.
ReplyDeleteamakweli dunia wa dha bin adam shujaa. wapi tunaerekea jamani, someni bible mjue nini mpinga christ anaoyalenga
ReplyDelete