Msaada siutani Mwenzenu Sioni Raha ya Mapenzi

Mimi ni mwanamke mwenye Umri wa Miaka 26, nimeolewa hivi majuzi na Mme wangu wa umri wa Miaka 34, tunapendana sana na ananitimizia kila kitu isipokuwa kuna shida kwenye "Unyumba".

Tulianza mahusiano kwa miezi kadhaa kabla ya kuoana na kuhamia kwetu peke yetu.

Tatizo lipo Chumbani tu mwenzangu anapenda sana kulambwa corn na nikimlamba kidogo tu anamwaga saa zengine mdomoni na akisha mwaga tu anaishiwa nguvu na kulala hapo hapo na kuanza kukoroma mpaka kesho na huamka kwenda kazini na kuniacha hivo hivo na maumivu ya tangu jana usiku.

Hali hiyo inanipa shida sana kwani anakuwa hajanipa haki yangu na hisia tayari zilishapanda nabaki naumia usiku wote na kuwa na mood mbaya kunapokucha, mara nyingi nabaki nimetumbua macho kama bundi usiku wote huku yeye ameridhika na amelala usingizi mnono napata maudhi sana natamani hata nimpige vibao akiwa usingizini.

Siku akijitahidi tuna have sex lakini anakuwa kama Kuku dakika tatu kashamaliza embu imagine hali nayokuwa nayo usiku huo na ujue hapo ndio kwisha Battery.

Basi nimejitahidi kumrekebisha hawezekani ndo kwanza namvuruga nakuanza kuniambia namzarau ingawa wakati tunaanza mahusiano alikuwa ananichukua tunaenda Hotel na alikuwa anajitahidi sana ingawa si katika kiwango nilichotaka, nilivumilia kwani nilihitaji kuolewa na nikajua ntamrekebisha tukikaa wote ata-Improve lakini ndio amerudi Nyuma kiasi kwamba swala la mapenzi kwangu limekuwa jinamizi linaloniwinda kila muda.

Ananisababishia hasira na stress zisizoisha nakuwa na mood mbaya mpaka kunifikisha hatua ya kukwaruzana na wafanyakazi wenzangu bila hata ya sababu au kwa kitu kidogo mara zingine nagombana na wateja na kuna siku nimesababisha msururu mrefu Bank kwani sikuwa na mood kabisa ya kufanya kazi na jana tu kidogo nitumbukize gari mtaroni kutoka na msongo wa mawazo kwa vile tu najiona siko sawa na najisikia hovyo nachukia kila kitu, asubuhi tu nimembonda mdada wa kazi kwa kitu ambacho yani najutia kitendo nilichofanya kwani hakukuwa na sababu.

Kabla ya kuwa na yeye nilikuwa na Mvulana wangu alikuwa Mwanaume wa Ukweli, round za kutosha, alikuwa anajua romance, nilikuwanaridhika mpaka nasema sitaki tena nimechoka.

Mvulana wangu alinizoesha kunyonya huku chini lakini tangu niwe na huyu Mme wangu hataki katu katu kusikia hicho kitu, nimemiss sana na nilishazoea hataki kabisa hata nikimshawishi vipi hataki lakini corn anataka kulambwa na ananiambia eti maungo yetu ni tofauti na ni sawa mi kumnyonya nshaanzisha na mgomo hapa kabisa na ameninunia.

Naona Ndoa Chungu jamani msaada wenu wa ushauri ni muhimu.

Naombeni Ushauri, Sitaki kusaliti viapo vyangu juu ya Ndoa yangu kwa Baba Padre nilivyo apa mbele ya waumini, na Mungu
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: