KAJALA APANGUA SKENDO YA KUJIUZA




UZUSHI! Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ameitolea mbavuni skendo ya kujiuza nchini China inayowatafuna mastaa wengi wa kike Bongo.
Kajala ambaye mara kwa mara amekuwa akisafiri kwenda nchini China, alipozungumza na paparazi wetu aliruka viunzi na kufafanua:
“China nakwenda kwa pesa zangu, nalipa dola 5000 (business class), nina dili zangu za kikazi na si kujiuza kama wapo wanaofanya hivyo ni wao lakini si mimi.”
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments: